×

Misingi Mitatu na Ushahidi Wake (Kiswahili)

Maandalizi: Muhammad bin Abdul-Wahhab

Maelezo

Kitabu hiki kinazungumzia mambo ya msingi ambayo yampasa Muislamu kujifunza: Kumjua Mwenyezi Mungu Mtukufu, kuijua dini ya Uislamu, na kumjua Mtume Muhammad rehema na amani ziwe juu yake, na kinaweka mkazo juu ya umuhimu wa mambo haya ya msingi katika kujenga imani na matendo mema kwa kutegemea ushahidi kutoka katika Qur'an tukufu na Sunna za Mtume.

Kupakua Kitabu

معلومات المادة باللغة العربية