×
Maandalizi: Abubakari Shabani Rukonkwa

Ukarimi wa Allah juu ya waja wake 1 (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Maana ya ukarimu na kwamba ukarimu wa Allah unadhihirika pale mwanadamu atakapojiangali namna alivyoumbwa, pia imezungumzia vitu bora alivyo wapa Allah waja wake kwa ukarimu wake.

Play
معلومات المادة باللغة العربية