×
New!

Bayan Al Islam Encyclopedia Mobile Application

Get it now!

Maandalizi: Qasim Mafuta

Zama za Fitna (Kiswahili)

1- Mada hii inazungumzia: Zama za fitna na kwamba nilazima watu wachukue tahadhari, pia imezungumzia umuhimu wa kutafuta elim yenye manhji ya kufuata sunna za Mtume (s.a.w). 2- Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa muislam madhubuti katika imani yake, pia imezungumzia hatari ya kufuata au kufanya jambo bila ya elim, nakwamba nisababu ya kuingia katika fitna.

Play
معلومات المادة باللغة العربية