×
New!

Bayan Al Islam Encyclopedia Mobile Application

Get it now!

Maandalizi: Abubakari Shabani Rukonkwa

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 07 (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kufanya uadilifu ndani ya ndoa na namna Aisha (r.a) alivyojifakharisha kwa Mtume (s.a.w) wakati wa uhai wake na kabla ya kufa kwake (s.a.w), pia imezungumzia tukio la kufa Mtume (s.a.w).

Play
معلومات المادة باللغة العربية