×

Nani aliye umba Dunia? na ni nani aliye niumba mimi? na kwanini ameniumba? (bahasa Melayu)

Voorbereiding:

Description

Kitabu "Nani aliyeumba Dunia? na ni nani aliyeniumba, na kwa ajili gani? kinajadili asili ya uwepo wa Dunia na Mwanadam, kwa kutilia mkazo kuwa Dunia haijaja kwa kuzuka na kwa kuja bila uwepo wa aliyeileta, isipokuwa inamuumbaji aliye mkubwa ambaye ni Allah, ambaye ameweka kanuni za ndani zaidi zinazoongoza maisha na dunia, kitabu kinaweka wazi sifa za Allah na umuhimu wa kuamini mitume na vitabu vya mbinguni, na kinahimiza kuwa Uislamu ni dini ya kweli ambayo imekusanya ujumbe wa mitume, kinawaita watu katika imani na kwa ajili ya kuhakikisha utukufu wa kweli duniani na akhera.

Download Book

معلومات المادة باللغة العربية